Font Size
Mathayo 26:57-58
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:57-58
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Akiwa Mbele ya Viongozi wa Kidini
(Mk 14:53-65; Lk 22:54-55,63-71; Yh 18:13-14,19-24)
57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka nyumbani kwa Kayafa, kuhani mkuu. Walimu wa Sheria na viongozi wazee wa Kiyahudi walikuwa wamekusanyika huko. 58 Petro alimfuata Yesu lakini alikuwa mbali kidogo. Alimfuata mpaka katika ua wa nyumba ya kuhani mkuu. Petro alienda uani na akakaa pamoja na walinzi. Alitaka kuona nini kingetokea.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International